Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 15:45 - Swahili Revised Union Version

Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vilevile walipewa Ekroni pamoja na miji yake midogo na vijiji,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vilevile walipewa Ekroni pamoja na miji yake midogo na vijiji,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vilevile walipewa Ekroni pamoja na miji yake midogo na vijiji,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ekroni, pamoja na makazi yake na vijiji vyake;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ekroni, pamoja na viunga vyake na vijiji vyake;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 15:45
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.


Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.


Kwa kuwa Gaza utaachwa, na Ashkeloni utakuwa ukiwa; wataufukuzia mbali Ashdodi wakati wa adhuhuri, na Ekroni utang'olewa.


kutoka Shihori, hicho kijito kilichokabili Misri, hata mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini, nchi inayohesabiwa kuwa ni ya hao Wakanaani; watawala watano wa hao Wafilisti; Wagaza, na Waashdodi, na Waashkeloni, na Wagiti, na Waekroni; tena Waavi,


kisha mpaka ukaendelea hadi upande wa kaskazini wa Ekroni; tena mpaka ulipigwa hadi Shikroni, na kwendelea mpaka kilima cha Baala, kisha ukatokea hapo Yabneeli; na ukaishia katika bahari.


Keila, Akizibu na Maresha; miji tisa, pamoja na vijiji vyake.


kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.


Eloni, Timna, Ekroni;


Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu mpaka Ekroni. Ikawa, sanduku la Mungu lilipofika Ekroni, watu wa Ekroni walipiga kelele, wakasema, Wamelileta hilo sanduku la Mungu wa Israeli kwetu, ili kutuua sisi na watu wetu.


Hii ndiyo hesabu ya yale majipu waliyoyapeleka wale Wafilisti, yawe matoleo ya kosa kwa BWANA; kwa Ashdodi moja, kwa Gaza moja, kwa Ashkeloni moja, kwa Gathi moja, na kwa Ekroni moja;