Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 25:16 - Swahili Revised Union Version

16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hao ndio watoto wa kiume wa Ishmaeli, waliokuwa asili ya makabila kumi na mawili; makazi na vijiji vyao vilijulikana kwa majina yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hao ndio watoto wa kiume wa Ishmaeli, waliokuwa asili ya makabila kumi na mawili; makazi na vijiji vyao vilijulikana kwa majina yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hao ndio watoto wa kiume wa Ishmaeli, waliokuwa asili ya makabila kumi na mawili; makazi na vijiji vyao vilijulikana kwa majina yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Hawa walikuwa wana wa Ishmaeli, na haya ni majina ya viongozi wa makabila yao kumi na mbili, kufuatana na makazi yao na kambi zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Hawa walikuwa wana wa Ishmaeli na haya ni majina ya viongozi wa makabila kumi na mawili kulingana na makao yao na kambi zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 25:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kuhusu Ishmaeli nimekusikia, nimembariki na nitamzidisha na kumwongeza sana. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, na atakuwa na taifa kuu.


Abrahamu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Abrahamu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.


na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.


Basi haya ndiyo makao yao, kwa kufuata mipaka ya kambi zao; wana wa Haruni, katika jamaa za Wakohathi; kwani walikuwa na kura ya kwanza;


Na miji yao yote, kila mahali walipokuwa wakikaa, na kambi yao yote wakayateketeza kwa moto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo