Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 15:46 - Swahili Revised Union Version

46 kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 miji yote na vijiji vilivyokuwa karibu na Ashdodi kati ya Ekroni na bahari,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 miji yote na vijiji vilivyokuwa karibu na Ashdodi kati ya Ekroni na bahari,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 miji yote na vijiji vilivyokuwa karibu na Ashdodi kati ya Ekroni na bahari,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 magharibi mwa Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 magharibi ya Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili




Yoshua 15:46
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka akapigana na Wafilisti, akauvunja ukuta wa Gathi, na ukuta wa Yabne, na ukuta wa Ashdodi; akajenga miji katika Ashdodi na katikati ya Wafilisti.


Katika mwaka ule jemadari yule alipofika Ashdodi, alipotumwa na Sargoni mfalme wa Ashuru; naye alipigana na Ashdodi akautwaa;


Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.


Hawakusalia Waanaki hata mmoja katika nchi ya wana wa Israeli; isipokuwa walisalia katika Gaza, na katika Gathi, na katika Ashdodi.


Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;


Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kuu na pwani yake.


Basi Wafilisti walikuwa wamelichukua sanduku la Mungu, wakaenda nalo kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.


Lakini mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi, akawaangamiza, akawapiga kwa majipu, huko Ashdodi na mipakani mwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo