Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yona 2:8 - Swahili Revised Union Version

Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongo Hujitenga na rehema zao wenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wanaoabudu sanamu za miungu batili, huutupilia mbali uaminifu wao kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wanaoabudu sanamu za miungu batili, huutupilia mbali uaminifu wao kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wanaoabudu sanamu za miungu batili, huutupilia mbali uaminifu wao kwako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wale watu wanaoshikilia sanamu batili hupoteza neema yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wale watu wanaong’ang’ana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongo Hujitenga na rehema zao wenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yona 2:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakazikataa sheria zake, na agano lake, alilolifanya na baba zao; na shuhuda zake alizowashuhudia; wakafuata ubatili, wakawa ubatili, nao wakaandamana na mataifa waliowazunguka, ambao BWANA alikuwa amewaagiza, wasitende kwa mfano wao.


Utazame mkono wangu wa kulia ukaone, Kwa maana sina mtu anijuaye. Makimbilio yamenipotea, Hakuna wa kunitunza roho.


Nawachukia wao washikao yasiyofaa yenye uongo; Bali mimi namtumainia BWANA.


Uniponye kwa kunitoa matopeni, Wala usiniache nikazama. Na niponywe kutoka kwa wanaonichukia, Na kutoka katika vilindi vya maji.


Lakini wote pia huwa kama wanyama, ni wapumbavu. Haya ni maelezo ya sanamu, ni shina la mti tu.


Ee BWANA, nguvu zangu, ngome yangu, na kimbilio langu siku ya taabu, kwako wewe watakuja mataifa yote toka ncha za dunia, wakisema, Baba zenu hawakurithi kitu ila uongo, naam, ubatili na vitu visivyofaa.


Kwa maana watu wangu hawa wametenda maovu mawili; wameniacha mimi, niliye chemchemi ya maji ya uzima, wamejichimbia visima, visima vyenye nyufa visivyoweza kuweka maji.


Sikilizeni, enyi watu wa kabila zote; sikiliza, Ee dunia, na vyote vilivyomo; Bwana MUNGU na ashuhudie juu yenu, yeye Bwana kutoka hekalu lake takatifu.


Wala msigeuke upande, maana, kufuata vitu vya ubatili,