Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yona 2:1 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Yona akamwomba BWANA, Mungu wake, akiwa katika tumbo la yule samaki,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yona, akiwa tumboni mwa samaki huyo, akawa akimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yona, akiwa tumboni mwa samaki huyo, akawa akimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yona, akiwa tumboni mwa samaki huyo, akawa akimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akiwa ndani ya tumbo la samaki, Yona alimwomba Mwenyezi Mungu, Mungu wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba bwana Mwenyezi Mungu wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Yona akamwomba BWANA, Mungu wake, akiwa katika tumbo la yule samaki,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yona 2:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


BWANA, katika taabu zao walikwenda kwako; waliomba maombi mengi wakati adhabu yako ilipokuwa juu yao.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Kuna mtu miongoni mwenu anayeteseka? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.