Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yona 2:1 - Swahili Revised Union Version

1 Ndipo Yona akamwomba BWANA, Mungu wake, akiwa katika tumbo la yule samaki,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Basi, Yona, akiwa tumboni mwa samaki huyo, akawa akimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Basi, Yona, akiwa tumboni mwa samaki huyo, akawa akimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Basi, Yona, akiwa tumboni mwa samaki huyo, akawa akimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Akiwa ndani ya tumbo la samaki, Yona alimwomba Mwenyezi Mungu, Mungu wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba bwana Mwenyezi Mungu wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Ndipo Yona akamwomba BWANA, Mungu wake, akiwa katika tumbo la yule samaki,

Tazama sura Nakili




Yona 2:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.


Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


BWANA, katika taabu zao walikwenda kwako; waliomba maombi mengi wakati adhabu yako ilipokuwa juu yao.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Kuna mtu miongoni mwenu anayeteseka? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo