Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 17:4 - Swahili Revised Union Version

4 Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Huko, utapata maji ya kunywa katika kijito hicho tena nimewaamuru kunguru wakuletee chakula.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Huko, utapata maji ya kunywa katika kijito hicho tena nimewaamuru kunguru wakuletee chakula.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Huko, utapata maji ya kunywa katika kijito hicho tena nimewaamuru kunguru wakuletee chakula.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Utakunywa maji kutoka kile kijito, nami nimeagiza kunguru wakulishe huko.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Utakunywa maji kutoka kile kijito, nami nimeagiza kunguru wakulishe huko.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 17:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akaenda, akamwona yule maiti ametupwa njiani, na punda na simba wamesimama karibu na maiti; yule simba alikuwa hakumla maiti, wala hakumrarua punda.


Ondoka hapa, geuka, uende upande wa mashariki, ujifiche karibu na kijito cha Kerithi kinachokabili Yordani.


Basi akaenda akafanya kama alivyosema BWANA; kwa kuwa alikwenda akakaa karibu na kijito cha Kerithi, kinachokabili Yordani.


Ondoka, uende Sarepta, ulio mji wa Sidoni, ukae huko. Tazama, nimemwagiza mwanamke mjane wa huko akulishe.


Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;


Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutangatanga kwa kutindikiwa na chakula?


Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.


Ndipo Yona akamwomba BWANA, Mungu wake, akiwa katika tumbo la yule samaki,


Twaa ile fimbo, ukawakusanye mkutano, wewe na Haruni ndugu yako, ukauambie mwamba mbele ya macho yao utoe maji yake, nawe utawatokezea maji katika mwamba, na hivyo utawanywesha maji mkutano na wanyama wao.


Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.


Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo