Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:51 - Swahili Revised Union Version

Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu, hataona mauti milele.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:51
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ni mwanamume gani atakayeishi asione mauti, Atakayejiokoa nafsi yake na mkono wa kuzimu?


Amin, nawaambieni, Pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.


Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu ya kwamba hataona mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana.


Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.


Likumbukeni lile neno nililowaambia, Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Ikiwa waliniudhi mimi, watawaudhi ninyi; ikiwa walilishika neno langu watalishika na lenu.


Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.


Amin, amin, nawaambia, Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma ana uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani.


Hiki ni chakula kishukacho kutoka mbinguni, kwamba mtu akile wala asife.


Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.


Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Abrahamu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.


Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nilishika.


Kwa imani Henoko alihamishwa, asije akaona mauti, wala hakuonekana, kwa sababu Mungu alimhamisha; maana kabla ya kuhamishwa alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu.


ila twamwona yeye aliyefanywa mdogo kwa muda kuliko malaika, yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji la utukufu na heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya kila mtu.