Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:50 - Swahili Revised Union Version

50 Wala mimi siutafuti utukufu wangu; kuna yule autafutaye na ndiye hakimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

50 Wala mimi siutafuti utukufu wangu; kuna yule autafutaye na ndiye hakimu.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:50
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi siupokei utukufu kwa wanadamu.


Msidhani kwamba mimi nitawashitaki kwa Baba; yuko anayewashitaki, ndiye Musa, mnayemtumaini ninyi.


Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.


Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo