Luka 2:26 - Swahili Revised Union Version26 Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu ya kwamba hataona mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Roho wa Mungu alikuwa amemfunulia kuwa hatakufa kabla hajamwona Al-Masihi wa Bwana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Roho wa Mwenyezi Mungu alikuwa amemfunulia kuwa hatakufa kabla hajamwona Al-Masihi wa Bwana Mwenyezi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI26 Naye alikuwa ameonywa na Roho Mtakatifu ya kwamba hataona mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama sura |