Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:50 - Swahili Revised Union Version

50 Hiki ni chakula kishukacho kutoka mbinguni, kwamba mtu akile wala asife.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Lakini huu ni mkate unaoshuka kutoka mbinguni ili yeyote atakayeula asife.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Lakini huu ni mkate unaoshuka kutoka mbinguni ili yeyote atakayeula asife.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Lakini huu ni mkate unaoshuka kutoka mbinguni ili yeyote atakayeula asife.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Lakini hapa kuna mkate kutoka mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

50 Hiki ni chakula kishukacho kutoka mbinguni, kwamba mtu akile wala asife.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:50
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Amin, amin, nawaambia, Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma ana uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani.


Kwa maana chakula cha Mungu ni kile kishukacho kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.


Wakasema, Je! Huyu siye Yesu, mwana wa Yusufu, ambaye twamjua babaye na mamaye? Sasa asemaje huyu, Nimeshuka kutoka mbinguni?


Amin, amin, nawaambia, Yeye aaminiye anao uzima wa milele.


Mimi ndimi chakula chenye uzima kilichoshuka kutoka mbinguni; mtu akila chakula hiki, ataishi milele. Na chakula nitakachotoa mimi ni mwili wangu, kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.


Hiki ndicho chakula kishukacho kutoka mbinguni; si kama mababa walivyokula, wakafa; bali akilaye chakula hicho ataishi milele.


Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.


Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu i hai, kwa sababu ya haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo