Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:18 - Swahili Revised Union Version

kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako; hapo umesema kweli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana umeshakuwa na wanaume watano, na mwanaume unayeishi naye sasa si mume wako! Umesema ukweli.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana umeshakuwa na wanaume watano na mwanaume unayeishi naye sasa si mume wako! Umesema ukweli.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako; hapo umesema kweli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:18
16 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia, Umekuwa mfu wewe kwa sababu ya mwanamke huyu uliyemtwaa, maana ni mke wa mtu.


Shekemu, mwana wa Hamori, Mhivi, mkuu wa nchi, akamwona akamtwaa, akalala naye, akambikiri.


Nao wakasema, Je! Ni vema amtendee dada yetu kama kahaba?


Bali, kama vile mke amwachavyo mumewe kwa hiana, ndivyo mlivyonitenda mimi kwa hiana, Ee nyumba ya Israeli, asema BWANA.


Mke wa mtu, aziniye! Akaribishaye wageni badala ya mumewe!


Kwa sababu hiyo, Ewe kahaba, lisikie neno la BWANA;


Hii ndiyo sheria ya wivu, mwanamke, ambaye yu chini ya mumewe, akikengeuka, na kupata unajisi;


na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.


Yesu akamwambia, Nenda kamwite mumeo, uje naye hapa.


Yule mwanamke akajibu, akasema, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema, Sina mume;


Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii!


Basi wakati mumewe awapo hai, kama akiwa na mume mwingine huitwa mzinzi. Ila mumewe akifa, amekuwa huru, hafungwi na sheria hiyo, hata yeye si mzinzi, ajapoolewa na mume mwingine.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.


Tena, huyu Ruthu Mmoabi, mkewe Maloni, nimemnunua awe mke wangu, makusudi nipate kumwinulia marehemu jina katika urithi wake, jina lake marehemu lisikatike miongoni mwa ndugu zake, wala langoni pa mji wake; leo hivi ninyi ni mashahidi.