Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:12 - Swahili Revised Union Version

12 na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.

Tazama sura Nakili




Marko 10:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.


lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.


Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo