Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:11 - Swahili Revised Union Version

11 Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;

Tazama sura Nakili




Marko 10:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.


Ndipo nyumbani tena wanafunzi wakamwuliza habari ya neno hilo.


Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini; naye amwoaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.


Basi wakati mumewe awapo hai, kama akiwa na mume mwingine huitwa mzinzi. Ila mumewe akifa, amekuwa huru, hafungwi na sheria hiyo, hata yeye si mzinzi, ajapoolewa na mume mwingine.


Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.


Naye akiisha kuondoka katika nyumba yake, ana ruhusa kwenda akawa mke wa mtu mwingine.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo