Marko 10:11 - Swahili Revised Union Version11 Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Naye akawaambia, “Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Akawajibu, “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kuoa mke mwingine, anazini naye. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake; Tazama sura |