Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:17 - Swahili Revised Union Version

Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alipowasili huko alikuta Lazaro amekuwa kaburini siku nne.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, nasi tutaishi mbele zake.


Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.


Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne.


Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha.