Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:18 - Swahili Revised Union Version

18 Na Bethania ilikuwa karibu na Yerusalemu, kadiri ya maili mbili hivi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu, umbali upatao kilomita tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu, umbali upatao kilomita tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu, umbali upatao kilomita tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa yamkini maili mbili,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Basi Bethania ulikuwa karibu na Yerusalemu umbali wa karibu maili mbili,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Na Bethania ilikuwa karibu na Yerusalemu, kadiri ya maili mbili hivi;

Tazama sura Nakili




Yohana 11:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.


Na tazama, siku ile ile watu wawili miongoni mwao walikuwa wakienda katika kijiji kimoja, jina lake Emau, kilichokuwa mbali na Yerusalemu kama mwendo wa saa mbili.


Basi mtu mmoja alikuwa mgonjwa, Lazaro wa Bethania, mwenyeji wa mji wa Mariamu na Martha, dada yake.


Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kuikaribia mashua; wakaogopa.


Shinikizo lile likakanyagwa nje ya mji, damu ikatoka katika shinikizo mpaka kwenye hatamu za farasi, kama mwendo wa maili mia mbili.


Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake ni sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu moja na mia tano; marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake ni sawasawa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo