Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:37 - Swahili Revised Union Version

Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yahya akisema haya, wakamfuata Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yahya akisema haya, wakamfuata Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:37
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


wenyeji wa mji huu watauendea mji huu, wakisema, Haya! Twendeni zetu kwa haraka tuombe fadhili za BWANA, na kumtafuta BWANA wa majeshi; Mimi nami nitakwenda.


Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!


Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?


Kesho yake alitaka kuondoka kwenda Galilaya, naye akamwona Filipo. Yesu akamwambia, Nifuate.


Basi imani, hutokana na kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.