Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 15:23 - Swahili Revised Union Version

23 Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kutoa jibu sahihi hufurahisha; neno lifaalo kwa wakati wake ni jema mno!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kutoa jibu sahihi hufurahisha; neno lifaalo kwa wakati wake ni jema mno!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kutoa jibu sahihi hufurahisha; neno lifaalo kwa wakati wake ni jema mno!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mtu hupata furaha katika kutoa jibu linalofaa: je, ni zuri namna gani neno lililotoka kwa wakati wake!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mtu hupata furaha katika kutoa jibu linalofaa: je, ni zuri namna gani neno lililotoka kwa wakati wake!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!

Tazama sura Nakili




Methali 15:23
14 Marejeleo ya Msalaba  

Jinsi yafaavyo maneno ya uelekevu! Lakini shutuma zenu, je! Zimeonya nini?


Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake.


Uzito katika moyo wa mtu huuinamisha; Bali neno jema huufurahisha.


Pasipo ushauri mipango vuhunjika; Bali kwa wingi wa washauri huthibitika.


Midomo ya haki ni furaha ya wafalme; Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Aibusu midomo atoaye jawabu la haki.


Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.


Naye aliposikia, aliondoka upesi, akamwendea.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo