Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 1:36 - Swahili Revised Union Version

36 Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazameni! Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Alipomwona Isa akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Alipomwona Isa akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Akamtazama Yesu akitembea, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu!

Tazama sura Nakili




Yohana 1:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akasema na Abrahamu baba yake, akinena, Babangu! Naye akasema, Mimi hapa, mwanangu. Akasema, Tazama! Moto upo, na kuni zipo, lakini yuko wapi mwana-kondoo kwa sadaka ya kuteketezwa?


Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine.


Kesho yake alimwona Yesu akija kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!


Wale wanafunzi wawili wakamsikia akinena, wakamfuata Yesu.


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo