Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 4:1 - Swahili Revised Union Version

Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 4:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Ndipo huyo Elifazi Mtemani akajibu, na kusema,


Mimi sioni raha, wala situlii, wala kupumzika; Lakini taabu huja.


Mtu akijaribu kuzungumza nawe, je! Utaona ni vibaya? Lakini ni nani awezaye kujizuia asinene?


Basi Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya kama vile BWANA alivyowaamuru; naye BWANA akamridhia Ayubu.


Ndipo Ayubu akajibu na kusema,


Ndipo Bildadi huyo Mshuhi akajibu, na kusema,


Kuhusu Edomu. BWANA wa majeshi asema hivi, Je! Hakuna tena hekima katika Temani? Mashauri yamewapotea wenye busara? Je! Imetoweka hekima yao?