Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 4:1 - Swahili Revised Union Version

1 Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,

Tazama sura Nakili




Yobu 4:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Ndipo huyo Elifazi Mtemani akajibu, na kusema,


Mimi sioni raha, wala situlii, wala kupumzika; Lakini taabu huja.


Mtu akijaribu kuzungumza nawe, je! Utaona ni vibaya? Lakini ni nani awezaye kujizuia asinene?


Basi Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya kama vile BWANA alivyowaamuru; naye BWANA akamridhia Ayubu.


Ndipo Ayubu akajibu na kusema,


Ndipo Bildadi huyo Mshuhi akajibu, na kusema,


Kuhusu Edomu. BWANA wa majeshi asema hivi, Je! Hakuna tena hekima katika Temani? Mashauri yamewapotea wenye busara? Je! Imetoweka hekima yao?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo