Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:1 - Swahili Revised Union Version

1 Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,

Tazama sura Nakili




Yobu 15:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Huhisi tu maumivu ya mwili wake, Na huombolezea nafsi yake tu.


Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Ndipo huyo Elifazi Mtemani akajibu, na kusema,


Ndipo huyo Elifazi, Mtemani, akajibu na kusema,


Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira zangu zinawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili; kwa kuwa ninyi hamkunena yaliyo sawa katika habari zangu, kama alivyonena mtumishi wangu Ayubu.


Basi Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya kama vile BWANA alivyowaamuru; naye BWANA akamridhia Ayubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo