Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 15:2 - Swahili Revised Union Version

2 Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?

Tazama sura Nakili




Yobu 15:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; Mimi si duni kuliko ninyi.


Ndipo Elifazi, Mtemani, akajibu, na kusema,


Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?


Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.


Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?


Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.


Alivyotoka tumboni mwa mamaye, atakwenda tena tuputupu kama alivyokuja; asichume kitu chochote kwa ajili ya kazi yake, hata akichukue mkononi mwake.


Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri.


BWANA naye ana shutuma juu ya Yuda, naye atamwadhibu Yakobo kwa kadiri ya njia zake; kwa kadiri ya matendo yake atamlipa.


Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aoneshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo