Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 48:3 - Swahili Revised Union Version

Sauti ya kilio toka Horonaimu, Ya kutekwa na uharibifu mkuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: ‘Maangamizi na uharibifu mkubwa!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: ‘Maangamizi na uharibifu mkubwa!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: ‘Maangamizi na uharibifu mkubwa!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sauti ya kilio toka Horonaimu, Ya kutekwa na uharibifu mkuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 48:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wanapanda juu hata Bayithi na Diboni, mpaka mahali palipo juu ili walie; juu ya Nebo na juu ya Medeba Wamoabi wanalia; Wana upaa juu ya vichwa vyao vyote; kila ndevu zimenyolewa.


Moyo wangu unamlilia Moabu; wakuu wake wanakimbilia Soari kama ndama wa miaka mitatu; kwa maana wanapanda mbavu za Luhithi wakilia; maana katika njia iendayo hata Horonaimu wanatoa kilio cha maangamizi.


Maana kilio hicho kimezunguka mipaka ya Moabu, malalamiko yao yamefika hata Eglaimu, na malalamiko yao hata Beer-Elimu.


Kwa sababu hiyo nasema, Geuza uso wako usinitazame, nipate kulia kwa uchungu; usijishughulishe kunifariji, kwa ajili ya kuharibika kwake binti ya watu wangu.


Mtu huyo na awe kama miji ile, ambayo BWANA aliiangamiza, asijute; na asikie kilio asubuhi, na kelele za fujo adhuhuri;


BWANA asema hivi, Tazama, maji yanatokea katika pande za kaskazini, nayo yatakuwa mto ufurikao, nayo yataifunika nchi, na kila kitu kilichomo, huo mji na wote wakaao ndani yake; nao watu watalia na watu wote wakaao katika nchi wataomboleza.


Toka kilio cha Heshboni mpaka Eleale, naam, mpaka Yahasa, wametoa sauti zao, toka Soari mpaka Horonaimu, hata Eglath-shelishia; maana maji ya Nimrimu nayo yatakuwa ukiwa.


Moabu umeharibika; Wadogo wake wamelia kwa sauti.


Kwa maana watu wapandapo huko Luhithi Watapanda wasiache kulia; Nao watu wateremkapo huko Horonaimu Wameisikia huzuni ya kilio cha uharibifu.


Sauti ya kilio kutoka Babeli, Na ya uangamizi mkuu toka nchi ya Wakaldayo!