Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 48:3 - Swahili Revised Union Version

3 Sauti ya kilio toka Horonaimu, Ya kutekwa na uharibifu mkuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: ‘Maangamizi na uharibifu mkubwa!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: ‘Maangamizi na uharibifu mkubwa!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: ‘Maangamizi na uharibifu mkubwa!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Sikiliza kilio kutoka Horonaimu, kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Sauti ya kilio toka Horonaimu, Ya kutekwa na uharibifu mkuu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 48:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wanapanda juu hata Bayithi na Diboni, mpaka mahali palipo juu ili walie; juu ya Nebo na juu ya Medeba Wamoabi wanalia; Wana upaa juu ya vichwa vyao vyote; kila ndevu zimenyolewa.


Moyo wangu unamlilia Moabu; wakuu wake wanakimbilia Soari kama ndama wa miaka mitatu; kwa maana wanapanda mbavu za Luhithi wakilia; maana katika njia iendayo hata Horonaimu wanatoa kilio cha maangamizi.


Maana kilio hicho kimezunguka mipaka ya Moabu, malalamiko yao yamefika hata Eglaimu, na malalamiko yao hata Beer-Elimu.


Kwa sababu hiyo nasema, Geuza uso wako usinitazame, nipate kulia kwa uchungu; usijishughulishe kunifariji, kwa ajili ya kuharibika kwake binti ya watu wangu.


Mtu huyo na awe kama miji ile, ambayo BWANA aliiangamiza, asijute; na asikie kilio asubuhi, na kelele za fujo adhuhuri;


BWANA asema hivi, Tazama, maji yanatokea katika pande za kaskazini, nayo yatakuwa mto ufurikao, nayo yataifunika nchi, na kila kitu kilichomo, huo mji na wote wakaao ndani yake; nao watu watalia na watu wote wakaao katika nchi wataomboleza.


Toka kilio cha Heshboni mpaka Eleale, naam, mpaka Yahasa, wametoa sauti zao, toka Soari mpaka Horonaimu, hata Eglath-shelishia; maana maji ya Nimrimu nayo yatakuwa ukiwa.


Moabu umeharibika; Wadogo wake wamelia kwa sauti.


Kwa maana watu wapandapo huko Luhithi Watapanda wasiache kulia; Nao watu wateremkapo huko Horonaimu Wameisikia huzuni ya kilio cha uharibifu.


Sauti ya kilio kutoka Babeli, Na ya uangamizi mkuu toka nchi ya Wakaldayo!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo