Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 48:4 - Swahili Revised Union Version

4 Moabu umeharibika; Wadogo wake wamelia kwa sauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Moabu tayari imeangamizwa kilio chake chasikika mpaka Soari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Moabu tayari imeangamizwa kilio chake chasikika mpaka Soari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Moabu tayari imeangamizwa kilio chake chasikika mpaka Soari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Moabu utavunjwa, wadogo wake watapiga kelele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Moabu utavunjwa, wadogo wake watapiga kelele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Moabu umeharibika; Wadogo wake wamelia kwa sauti.

Tazama sura Nakili




Yeremia 48:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika barua hizo mfalme aliwaruhusu Wayahudi katika kila mji wakusanyike na kuyalinda maisha yao, kwa kuangamiza, kuua, na kulimaliza jeshi lote la watu au mkoa watakaowashambulia, pamoja na watoto na wanawake; na kuyachukua mali yao kuwa nyara;


Heri yeye atakayewakamata wadogo wako, Na kuwaseta wao juu ya mwamba.


Mtu huyo na awe kama miji ile, ambayo BWANA aliiangamiza, asijute; na asikie kilio asubuhi, na kelele za fujo adhuhuri;


Sauti ya kilio toka Horonaimu, Ya kutekwa na uharibifu mkuu.


Kwa maana watu wapandapo huko Luhithi Watapanda wasiache kulia; Nao watu wateremkapo huko Horonaimu Wameisikia huzuni ya kilio cha uharibifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo