Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 13:10 - Swahili Revised Union Version

naye kuhani ataangalia, ikiwa pana uvimbe mweupe katika ngozi yake, na mnywele zimegeuzwa kuwa nyeupe, tena ikiwa panafanyika kidonda katika ule uvimbe,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuhani atamwangalia na kama kuna uvimbe mweupe ambao umezifanya nywele zake ziwe nyeupe na uvimbe huo umegeuka kuwa kidonda kibichi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuhani atamwangalia na kama kuna uvimbe mweupe ambao umezifanya nywele zake ziwe nyeupe na uvimbe huo umegeuka kuwa kidonda kibichi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuhani atamwangalia na kama kuna uvimbe mweupe ambao umezifanya nywele zake ziwe nyeupe na uvimbe huo umegeuka kuwa kidonda kibichi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuhani atamchunguza na kama kuna uvimbe mweupe katika ngozi ambao umefanya nywele kuwa nyeupe, na kama kuna nyama mbichi ndani ya uvimbe,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuhani atamchunguza na kama kuna uvimbe mweupe juu ya ngozi ambao umefanya nywele kuwa nyeupe, na kama kuna nyama mbichi ndani ya uvimbe,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

naye kuhani ataangalia, ikiwa pana uvimbe mweupe katika ngozi yake, na nywele zimegeuka kuwa nyeupe, tena ikiwa panafanyika kidonda katika ule uvimbe,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 13:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ukoma wa Naamani utakushika wewe, na wazao wako hata milele. Naye akatoka usoni pake mwenye ukoma kama theluji.


Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.


ni ukoma usiopona ulio katika ngozi ya mwili wake, na kuhani atasema kuwa ni najisi; hatamweka mahali, kwa kuwa yeye ana unajisi.


Au mwili wa mtu ukiwa una mahali palipoungua katika ngozi yake, kisha pakawa kidonda, kikawa kipaku chekundu kidogo, au cheupe;


Mtu atakapopatwa na ugonjwa wa ukoma, ndipo ataletwa kwa kuhani;


Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.