Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 13:9 - Swahili Revised Union Version

9 Mtu atakapopatwa na ugonjwa wa ukoma, ndipo ataletwa kwa kuhani;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 “Kama mtu ameshikwa na ukoma, ataletwa kwa kuhani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 “Kama mtu ameshikwa na ukoma, ataletwa kwa kuhani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 “Kama mtu ameshikwa na ukoma, ataletwa kwa kuhani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 “Wakati mtu yeyote ana ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, ni lazima aletwe kwa kuhani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 “Wakati mtu yeyote ana ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, ni lazima aletwe kwa kuhani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Mtu atakapopatwa na ugonjwa wa ukoma, ndipo ataletwa kwa kuhani;

Tazama sura Nakili




Walawi 13:9
3 Marejeleo ya Msalaba  

naye kuhani ataangalia, ikiwa pana uvimbe mweupe katika ngozi yake, na mnywele zimegeuzwa kuwa nyeupe, tena ikiwa panafanyika kidonda katika ule uvimbe,


Mtu atakapokuwa na uvimbe katika ngozi ya mwili wake, au upele, au kipaku king'aacho, nao ukawa ni ugonjwa wa ukoma katika ngozi ya mwili wake, ndipo atakapoletwa kwa Haruni kuhani, au kwa mmojawapo wa wanawe makuhani;


naye kuhani ataangalia, ikiwa huo upele umeenea katika ngozi, ndipo kuhani atasema kuwa ni najisi; ni ukoma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo