Walawi 13:10 - Swahili Revised Union Version10 naye kuhani ataangalia, ikiwa pana uvimbe mweupe katika ngozi yake, na mnywele zimegeuzwa kuwa nyeupe, tena ikiwa panafanyika kidonda katika ule uvimbe, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Kuhani atamwangalia na kama kuna uvimbe mweupe ambao umezifanya nywele zake ziwe nyeupe na uvimbe huo umegeuka kuwa kidonda kibichi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Kuhani atamwangalia na kama kuna uvimbe mweupe ambao umezifanya nywele zake ziwe nyeupe na uvimbe huo umegeuka kuwa kidonda kibichi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Kuhani atamwangalia na kama kuna uvimbe mweupe ambao umezifanya nywele zake ziwe nyeupe na uvimbe huo umegeuka kuwa kidonda kibichi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kuhani atamchunguza na kama kuna uvimbe mweupe katika ngozi ambao umefanya nywele kuwa nyeupe, na kama kuna nyama mbichi ndani ya uvimbe, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kuhani atamchunguza na kama kuna uvimbe mweupe juu ya ngozi ambao umefanya nywele kuwa nyeupe, na kama kuna nyama mbichi ndani ya uvimbe, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 naye kuhani ataangalia, ikiwa pana uvimbe mweupe katika ngozi yake, na nywele zimegeuka kuwa nyeupe, tena ikiwa panafanyika kidonda katika ule uvimbe, Tazama sura |