Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 5:7 - Swahili Revised Union Version

Basi msishirikiane nao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, msishirikiane nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, msishirikiane nao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, msishirikiane nao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo, msishirikiane nao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo, msishirikiane nao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi msishirikiane nao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 5:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ulipomwona mwizi ulikuwa radhi naye, Ukashirikiana na wazinzi.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;


Akasema na mkutano, na kuwaambia, Nawasihi, ondokeni penye hema za hawa watu waovu, wala msiguse kitu chao chochote, msiangamizwe katika dhambi zao zote.


Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?


ya kwamba Mataifa ni warithi pamoja nasi wa urithi mmoja, na wa mwili mmoja, na washiriki pamoja nasi wa ahadi yake iliyo katika Kristo Yesu kwa njia ya Injili;


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala usizishiriki dhambi za watu wengine. Ujilinde nafsi yako uwe safi.


Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.