Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 4:3 - Swahili Revised Union Version

na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jitahidini kudumisha umoja wa Roho wa Mungu katika kifungo cha amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jitahidini kudumisha umoja wa Roho wa Mwenyezi Mungu katika kifungo cha amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 4:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo watu wa Israeli wakagawanywa sehemu mbili; nusu ya watu wakamfuata Tibni mwana wa Ginathi, ili wamfanye mfalme; nusu wakamfuata Omri.


Nayo itakuwa na tundu katikati yake kwa kupitisha kichwa; itakuwa na utepe wa kazi ya kusokotwa kuzunguka hilo tundu lake, mfano wa tundu lililo katika kanzu ya chuma, ili lisipasuke.


Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watamstahimili; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.


Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama;


Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.


Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu migawanyiko, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.


Hatimaye, ndugu, kwaherini; mtimilike, mfarijike, nieni mamoja, mkae katika amani; na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.


hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;


Kuna mwili mmoja, na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu.


mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;