Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 3:24 - Swahili Revised Union Version

24 Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopingana, utawala huo hauwezi kudumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopingana, utawala huo hauwezi kudumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopingana, utawala huo hauwezi kudumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kama ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kama ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama;

Tazama sura Nakili




Marko 3:24
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ilitukia ya kwamba kulikuwapo mtu asiyefaa, jina lake akiitwa Sheba, mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga tarumbeta, akasema, Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese; nendeni kila mtu hemani kwake, enyi Israeli.


Basi Daudi akamwambia Abishai, Sasa Sheba, mwana wa Bikri, atatudhuru, kuliko Absalomu; twaa wewe watumishi wa bwana wako, ukamfuatie, asiingie katika miji yenye boma, na kutuponyoka.


nami nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote; wala hawatakuwa tena mataifa mawili, wala hawatagawanyika kuwa falme mbili tena, hata milele.


Ndipo nikaikata vipande viwili fimbo yangu ya pili, iitwayo Umoja, ili nipate kuuvunja udugu uliokuwa kati ya Yuda na Israeli.


Basi Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, hufanyika ukiwa; tena mji au nyumba yoyote ikifitinika juu ya nafsi yake, haitasimama.


Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?


na nyumba ikifitinika juu ya nafsi yake, nyumba hiyo haiwezi kusimama.


Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo