Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 4:3 - Swahili Revised Union Version

3 na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Jitahidini kudumisha umoja wa Roho wa Mungu katika kifungo cha amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Jitahidini kudumisha umoja wa Roho wa Mwenyezi Mungu katika kifungo cha amani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.

Tazama sura Nakili




Waefeso 4:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo watu wa Israeli wakagawanywa sehemu mbili; nusu ya watu wakamfuata Tibni mwana wa Ginathi, ili wamfanye mfalme; nusu wakamfuata Omri.


Nayo itakuwa na tundu katikati yake kwa kupitisha kichwa; itakuwa na utepe wa kazi ya kusokotwa kuzunguka hilo tundu lake, mfano wa tundu lililo katika kanzu ya chuma, ili lisipasuke.


Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watamstahimili; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.


Na ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, ufalme huo hauwezi kusimama;


Amri mpya nawapa, Mpendane. Kama vile nilivyowapenda ninyi, nanyi mpendane vivyo hivyo.


Basi ndugu, nawasihi, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mnene mamoja; wala pasiwe kwenu migawanyiko, bali mhitimu katika nia moja na shauri moja.


Hatimaye, ndugu, kwaherini; mtimilike, mfarijike, nieni mamoja, mkae katika amani; na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.


hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;


Kuna mwili mmoja, na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu.


mkawastahi sana katika upendo, kwa ajili ya kazi zao. Iweni na amani ninyi kwa ninyi.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo