Waefeso 4:13 - Swahili Revised Union Version13 hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 hadi sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima, kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Al-Masihi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu, na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Al-Masihi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo; Tazama sura |