Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 7:23 - Swahili Revised Union Version

Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi kumekuwa na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 7:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?


(maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;)


basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.


bali yeye, kwa kuwa anakaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.


Na hapa wanadamu wapatikanao na kufa hutwaa sehemu ya kumi; bali huko yeye ashuhudiwaye kwamba yuko hai.