Waebrania 7:21 - Swahili Revised Union Version21 (maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;) Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hatabadili nia yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hatabadili nia yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hatabadili nia yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 lakini Isa alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Mwenyezi Mungu ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 lakini Isa alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mwenyezi Mungu alimwambia: “bwana Mwenyezi ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’ ” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 (maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;) Tazama sura |