Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 7:21 - Swahili Revised Union Version

21 (maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;)

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hatabadili nia yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hatabadili nia yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, wala hatabadili nia yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 lakini Isa alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Mwenyezi Mungu ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 lakini Isa alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mwenyezi Mungu alimwambia: “bwana Mwenyezi ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 (maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;)

Tazama sura Nakili




Waebrania 7:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki.


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Kwa sababu karama za Mungu hazina majuto, wala mwito wake.


Kama asemavyo mahali pengine, Ndiwe kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki.


maana ameshuhudiwa kwamba, Wewe u kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki.


Na kwa kuwa haikuwa pasipo kiapo,


Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae;


Maana torati yawaweka wanadamu walio na unyonge kuwa makuhani wakuu; bali hilo neno la kiapo kilichokuja baada ya torati limemweka Mwana, aliyekamilika hata milele.


Tena Yeye aliye Nguvu za Israeli hatanena uongo, wala hataona majuto; maana siye mwanadamu, hata ajute.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo