Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 7:22 - Swahili Revised Union Version

22 basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kwa ajili ya kiapo hiki, Isa amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kwa ajili ya kiapo hiki, Isa amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

Tazama sura Nakili




Waebrania 7:22
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nitakuwa mdhamini wake, umtake mkononi mwangu. Nisipomleta tena kwako, na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye hatia mbele yako daima;


Kwa maana mtumwa wako alijifanya mdhamini wa huyu kijana kwa baba yangu, nikisema, Nisipomrudisha kwako, nitakuwa na hatia kwa baba yangu daima.


Uwe mdhamini wa mtumishi wako, apate mema, Wenye kiburi wasinionee.


Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.


Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako, Ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono,


Kama mbayuwayu au korongo ndivyo nilivyolia; Niliomboleza kama hua; macho yangu yamedhoofu kwa kutazama juu; Ee BWANA, nimeonewa, na uwe mdhamini wangu.


Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu.


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


Akawaambia, Hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi.


Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]


Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe, akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu.


na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae;


Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa kiko karibu kutoweka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo