Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 7:23 - Swahili Revised Union Version

23 Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Tena: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Basi kumekuwa na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae;

Tazama sura Nakili




Waebrania 7:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?


(maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;)


basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.


bali yeye, kwa kuwa anakaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.


Na hapa wanadamu wapatikanao na kufa hutwaa sehemu ya kumi; bali huko yeye ashuhudiwaye kwamba yuko hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo