Waebrania 7:23 - Swahili Revised Union Version23 Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Tena: Hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Tena: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Basi kumekuwa na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae; Tazama sura |