Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 7:20 - Swahili Revised Union Version

20 Na kwa kuwa haikuwa pasipo kiapo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Na kwa kuwa haikuwa pasipo kiapo,

Tazama sura Nakili




Waebrania 7:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki.


Nawe na wanao pamoja nawe mtautunza ukuhani wenu, kwa ajili ya kila kitu cha madhabahu, na kwa ajili ya vile vilivyomo ndani ya pazia, nanyi mtatumika. Nawapeni ukuhani kuwa utumishi wa kipawa; na mgeni akaribiaye atauawa.


Kama asemavyo mahali pengine, Ndiwe kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki.


(kwa maana ile sheria haikukamilisha neno); na pamoja na hayo kuliingizwa matumaini yaliyo mazuri zaidi, ambayo kwa hayo tunamkaribia Mungu.


(maana wale walifanywa makuhani pasipo kiapo; bali yeye, pamoja na kiapo, kwa yeye aliyemwambia, Bwana ameapa wala hataghairi, Wewe u kuhani milele;)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo