Waebrania 7:20 - Swahili Revised Union Version20 Na kwa kuwa haikuwa pasipo kiapo, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Zaidi ya hayo, hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Na kwa kuwa haikuwa pasipo kiapo, Tazama sura |