Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 3:14 - Swahili Revised Union Version

14 Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema, “Je, wewe unakuja kwangu? Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema, “Je, wewe unakuja kwangu? Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema, “Je, wewe unakuja kwangu? Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini Yahya akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi ninahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu nikubatize?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini Yahya akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi ninahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu nikubatize?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?

Tazama sura Nakili




Mathayo 3:14
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yordani kwa Yohana ili abatizwe.


Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Ndipo akakubali.


Limenitokeaje neno hili, hata mama wa Bwana wangu anijie mimi?


Kwa kuwa katika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema.


Lakini, ndugu zangu, sipendi msiwe na habari, ya kuwa mara nyingi nilikusudia kuja kwenu, nikazuiliwa mpaka sasa, ili nipate kuwa na matunda kwenu ninyi pia kama nilivyo nayo katika Mataifa wengine.


kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;


ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake, ili aoneshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia katika ustahimili wa Mungu dhambi zote zilizotangulia kufanywa;


Lakini andiko limeyafunga yote chini ya nguvu ya dhambi, makusudi hao waaminio wapewe ile ahadi kwa imani ya Yesu Kristo.


Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, aliaye, Aba, yaani, Baba.


Tena wale walifanywa makuhani wengi, kwa sababu walizuiliwa na mauti wasikae;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo