Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 3:13 - Swahili Revised Union Version

13 Wakati huo Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yordani kwa Yohana ili abatizwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kisha Isa akaja kutoka Galilaya hadi Mto Yordani ili Yahya ambatize.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kisha Isa akaja kutoka Galilaya mpaka Mto Yordani ili Yahya ambatize.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Wakati huo Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Yordani kwa Yohana ili abatizwe.

Tazama sura Nakili




Mathayo 3:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini aliposikia ya kwamba Arkelao anatawala huko Yudea mahali pa Herode babaye, aliogopa kwenda huko; naye akiisha kuonywa katika ndoto, akaenda pande za Galilaya,


Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Wala mimi sikumjua; lakini ili adhihirishwe kwa Israeli ndiyo maana mimi nilikuja nikibatiza kwa maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo