Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 10:13 - Swahili Revised Union Version

tangu hapo akingojea hata adui zake wawekwe kuwa chini ya miguu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

anangoja maadui zake wafanywe kama kibao chini ya miguu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

anangoja maadui zake wafanywe kama kibao chini ya miguu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

anangoja maadui zake wafanywe kama kibao chini ya miguu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tangu wakati huo anangoja hadi adui zake wawekwe chini ya miguu yake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tangu wakati huo anangoja mpaka adui zake wawekwe chini ya miguu yake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

tangu hapo akingojea hata adui zake wawekwe kuwa chini ya miguu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 10:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.


Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi katika mkono wangu wa kulia, Hata niwawekapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako?


Daudi mwenyewe alisema, kwa uweza wa Roho Mtakatifu, Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kulia, Hata niwawekapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Hadi niwaweke adui zako Kuwa kiti cha kuwekea miguu yako.


Hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


Je! Yuko malaika aliyemwambia wakati wowote, Uketi mkono wa kulia Hata nitakapoweka adui zako chini ya nyayo zako?