Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 2:35 - Swahili Revised Union Version

35 Hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 hadi niwafanye adui zako kiti cha miguu yako.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 hadi niwafanye adui zako kiti cha miguu yako.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 hadi niwafanye adui zako kiti cha miguu yako.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.” ’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.

Tazama sura Nakili




Matendo 2:35
18 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.


Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Wakaao jangwani na wainame mbele zake; Adui zake na warambe mavumbi.


Na wafalme watakuwa baba zako walezi, na malkia zao mama zako walezi; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.


Kadiri ya matendo yao, kwa kadiri iyo hiyo atawalipa, ukali kwao wampingao, malipo kwa adui zake; naye atavirudishia visiwa malipo.


Na wana wa watu wale waliokutesa Watakuja kwako na kukuinamia; Nao wote waliokudharau Watajiinamisha katika nyayo za miguu yako; Nao watakuita, Mji wa BWANA, Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Maana Daudi hakupanda mbinguni; bali yeye mwenyewe anasema, Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti upande wa mkono wangu wa kulia.


Basi nyumba yote ya Israeli na wajue yakini ya kwamba Mungu amemfanya Yesu huyo mliyemsulubisha kuwa Bwana na Kristo.


Naye Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi. [Amina.]


Kisha nikamwona huyo mnyama, na wafalme wa nchi, na majeshi yao, wamekutana kufanya vita na yeye aketiye juu ya farasi yule, tena na majeshi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo