Matendo 2:34 - Swahili Revised Union Version34 Maana Daudi hakupanda mbinguni; bali yeye mwenyewe anasema, Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti upande wa mkono wangu wa kulia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Kwa kuwa Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, “ ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Kwa kuwa Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, “ ‘bwana Mwenyezi alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 Maana Daudi hakupanda mbinguni; bali yeye mwenyewe anasema, Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti upande wa mkono wangu wa kuume. Tazama sura |