Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ufunuo 3:13 - Swahili Revised Union Version

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho wa Mungu ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ufunuo 3:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Mwenye masikio na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.