Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 7:29 - Swahili Revised Union Version

Watu wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba arubaini na watatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa miji ya Kiriath-yearimu, Kefira na Beerothi: 743;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa miji ya Kiriath-yearimu, Kefira na Beerothi: 743;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa miji ya Kiriath-yearimu, Kefira na Beerothi: 743;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi, mia saba arobaini na watatu (743);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba arobaini na watatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 7:29
6 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa Kiriath-yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba arubaini na watatu.


Watu wa Beth-Azmawethi, arubaini na wawili.


Watu wa Rama na Geba, mia sita na ishirini na mmoja.


na Gibeoni, na Rama, na Beerothi;


Kisha wana wa Israeli walisafiri, wakaifikia miji ya watu hao siku ya tatu. Basi miji ya watu hao ilikuwa ni hii, Gibeoni, na Kefira, na Beerothi, na Kiriath-yearimu.


Wakakwea juu na kupiga kambi huko Kiriath-yearimu, katika Yuda; kwa sababu hiyo wakapaita mahali pale jina lake Mahane-dani hata hivi leo; tazama, ni hapo nyuma ya Kiriath-yearimu.