Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 6:4 - Swahili Revised Union Version

Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waliendelea kunitaka niende kwao mara nne, lakini nikawapa jibu lilelile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waliendelea kunitaka niende kwao mara nne, lakini nikawapa jibu lilelile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waliendelea kunitaka niende kwao mara nne, lakini nikawapa jibu lilelile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walinitumia ujumbe huo huo mara nne, na kila mara nikawapa jibu lile lile.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara nne walinitumia ujumbe wa namna iyo hiyo, na kila mara niliwapa jibu lile lile.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 6:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na mimi nikatuma wajumbe kwao, nikasema, Hii ni kazi kubwa ninayoifanya mimi, siwezi kushuka, kwa nini niwashukie na hapo kazi isimame?


Ndipo Sanbalati akamtuma kwangu mtumishi wake vile vile mara ya tano, na barua wazi mkononi mwake;


Mjinga huamini kila neno; Bali mwenye busara huangalia sana aendavyo.


Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi, Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda.


lakini, kwa kuwa mjane huyu ananiudhi, nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa kunijia daima.


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


ambao hata saa moja hatukujitia chini yao, ili kwamba kweli ya Injili ikae pamoja nanyi.


Delila akamwambia Samsoni, Tazama, umenidhihaki, na kuniambia uongo; sasa tafadhali, niambie, waweza kufungwa kwa kitu gani?


Delila akamwambia Samsoni, Tafadhali niambie asili ya nguvu zako nyingi, na jinsi uwezavyo kufungwa, ili uteswe.