Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 6:4 - Swahili Revised Union Version

4 Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Waliendelea kunitaka niende kwao mara nne, lakini nikawapa jibu lilelile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Waliendelea kunitaka niende kwao mara nne, lakini nikawapa jibu lilelile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Waliendelea kunitaka niende kwao mara nne, lakini nikawapa jibu lilelile.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Walinitumia ujumbe huo huo mara nne, na kila mara nikawapa jibu lile lile.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Mara nne walinitumia ujumbe wa namna iyo hiyo, na kila mara niliwapa jibu lile lile.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.

Tazama sura Nakili




Nehemia 6:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na mimi nikatuma wajumbe kwao, nikasema, Hii ni kazi kubwa ninayoifanya mimi, siwezi kushuka, kwa nini niwashukie na hapo kazi isimame?


Ndipo Sanbalati akamtuma kwangu mtumishi wake vile vile mara ya tano, na barua wazi mkononi mwake;


Mjinga huamini kila neno; Bali mwenye busara huangalia sana aendavyo.


Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi, Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda.


lakini, kwa kuwa mjane huyu ananiudhi, nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa kunijia daima.


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


ambao hata saa moja hatukujitia chini yao, ili kwamba kweli ya Injili ikae pamoja nanyi.


Delila akamwambia Samsoni, Tazama, umenidhihaki, na kuniambia uongo; sasa tafadhali, niambie, waweza kufungwa kwa kitu gani?


Delila akamwambia Samsoni, Tafadhali niambie asili ya nguvu zako nyingi, na jinsi uwezavyo kufungwa, ili uteswe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo