Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 7:21 - Swahili Revised Union Version

21 Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi, Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Alimshawishi kwa maneno mengi ya kubembeleza; kijana akashawishika kwa maneno yake matamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Alimshawishi kwa maneno mengi ya kubembeleza; kijana akashawishika kwa maneno yake matamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Alimshawishi kwa maneno mengi ya kubembeleza; kijana akashawishika kwa maneno yake matamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha; alimshawishi kwa maneno yake laini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha; alimshawishi kwa maneno yake laini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi, Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda.

Tazama sura Nakili




Methali 7:21
14 Marejeleo ya Msalaba  

Hata ikawa siku moja, Elisha alikwenda Shunemu; na huko kulikuwa na mwanamke mmoja mwenye cheo; naye akamshurutisha aje ale chakula. Ikawa kila alipopita njia ile, huingia kula chakula.


Nao wakaniletea mwito huo mara nne; nikawajibu maneno yale yale.


Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Maana midomo ya malaya hudondosha asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;


Yakulinde na mwanamke mwovu, asikupate, Na kukuponya na ubembelezi wa mgeni.


Huyo akafuatana naye mara hiyo, Kama vile ng'ombe aendavyo machinjoni; Au mpumbavu kuadhibiwa katika pingu;


Wapate kukulinda na malaya, Na mwasherati akubembelezaye kwa maneno yake.


Bwana akamwambia mtumwa, Toka nje uende barabarani na mipakani, ukawashurutishe kuingia ndani, nyumba yangu ipate kujaa.


Wakamshawishi wakisema, Kaa pamoja nasi, kwa kuwa kumekuchwa, na mchana unakwisha. Akaingia ndani kukaa nao.


Hata alipokwisha kubatizwa, yeye na nyumba yake, akatusihi, akisema, Kama mmeniona kuwa mwaminifu kwa Bwana, ingieni nyumbani mwangu mkakae. Akatusihi sana.


Maana, upendo wa Kristo watuongoza; maana tumehukumu hivi, ya kwamba mmoja alikufa kwa ajili ya wote, basi walikufa wote;


Naye akalia mbele yake hizo siku saba, wakati ulioendelea karamu yao; basi ikawa siku ya saba akamwambia, kwa sababu alikuwa akimsisitiza sana; naye akawaambia wale wana wa watu wake hicho kitendawili.


Lakini yeye alikataa, akasema, Mimi sitaki kula. Ila watumishi wake, pamoja na yule mwanamke, wakamlazimisha; naye akaisikiliza sauti yao. Basi akainuka hapo chini, akaketi juu ya kitanda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo