Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 13:30 - Swahili Revised Union Version

Hivyo nikawatakasa na kila kitu kigeni, nami nikawawekea zamu makuhani na Walawi, kila mtu kazini mwake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliwatakasa watu kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni. Nikatayarisha mwongozo kwa ajili ya makuhani na Walawi kuhusu kazi ya kila mmoja wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliwatakasa watu kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni. Nikatayarisha mwongozo kwa ajili ya makuhani na Walawi kuhusu kazi ya kila mmoja wao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliwatakasa watu kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni. Nikatayarisha mwongozo kwa ajili ya makuhani na Walawi kuhusu kazi ya kila mmoja wao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivyo nikawatakasa na kila kitu kigeni, nami nikawawekea zamu makuhani na Walawi, kila mtu kazini mwake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 13:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sisi, BWANA ndiye Mungu wetu, wala sisi hatukumwacha; tena tunao makuhani wanaomtumikia BWANA, wana wa Haruni, na Walawi, kwa kazi yao;


wala tusiwaoze watu wa nchi binti zetu, wala kuwatwalia wana wetu binti zao;


Makuhani na Walawi wakajitakasa, nao wakawatakasa watu, na malango, na ukuta.